Psalms 131:1

Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu

(Wimbo Wa Kwenda Juu. Wa Daudi.)


1 aMoyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana,
macho yangu hayajivuni;
sijishughulishi na mambo makuu kunizidi
wala mambo ya ajabu mno kwangu.
Copyright information for SwhKC